Hamisi Salehe Mohamedy profile
Mwanafunzi • Mwanzilishi Age: 13 (b. 30 May 2012)

Hamisi Salehe Mohamedy

Mwanafunzi, mvumbuzi wa teknolojia (STEM) na mtaalamu wa wavuti kutoka Dar es Salaam, Tanzania. Mwanzilishi wa HaSwa Digital na muundaji wa Nyeburu High School official portal.

Kuhusu Hamisi

Hamisi alizaliwa tarehe 30 Mei 2012 katika Hospitali ya Amana, Dar es Salaam. Amekuwa akiendesha miradi ya teknolojia za elimu tangu shule ya msingi. Lengo lake ni kurejesha fursa za kujifunzia kwa kutumia mifumo ya kidijitali na kuhamasisha vijana kujifunza STEM.

Elimu
Minazi Mirefu Primary School (2018–2024)
Selected Dar es Salaam Secondary School (selected)
Nyeburu High School (2025–)
Ujuzi
HTML · CSS · JavaScript · UX basics · Netlify deployment · SEO basic · STEM project design

Miradi ya Muda Mfupi

Nyeburu High School

Nyeburu High School Official

Jukwaa la kidijitali lililoundwa kusaidia wanafunzi na walimu kupata nyenzo za kujifunzia mtandaoni.

STEM Hub

STEM Innovation Hub (Prototype)

Mpango wa mafunzo na miradi midogo kwa wanafunzi kujifunzia kupitia vitendo.

STEM Book Cover

STEM Learning Book

Kitabu cha Hamisi kinacholenga kuwahamasisha wanafunzi kuelewa teknolojia kwa vitendo.

Habari & Matukio

Book
Hamisi anatoa kitabu cha STEM
March 2025 • Soma
Nyeburu
Nyeburu High School portal launched
June 2025 • Tembelea